Tibu tezi dume hivi Tibu nyumbani - 30/06/2023 Namna ya kujitibu Saratani ya Tezi Dume kwa kutumia Nyanya,.... Na Dr jimmy 0620165254. Kama ulikua unaangaika na tatizo hili au labda ulikuwa unajiuliza njia rahisi ya kutibu tatizo hilo la saratani ya tezi dume, basi soma mpaka mwisho utanishukuru badae,.... Mahitaji, 1. Nyanya tatu 2. Kijiko kimoja cha mafuta ya mzeituni, (unaweza pia ukatumia mafuta mengine yoyote yale) Maandalizi, Katakata nyanya zako, Halafu tengeneza juisi yake, Kisha weka kijiko kimoja cha mafuta hayo,.... Kunywa juisi yako mara mbili kwa siku.... Fanya hivyo kwa muda wa wiki 2, naamini utakuja kunishukuru badae,.... Ikiwa una swali lolote, Nipigie au unitumia ujumbe kwenye wasap 0620165254 Health consultation Tunajali afya YAKO *Hongera Kwa walioleta mlejesho mzuri baada ya kutumia hii dawa Kwa uaminifu hakika inawezkana kama nawe ulitumia tupe mrejesho*