Machapisho

Asidi Sasa basi

Picha
Haijarishi unapitia changamoto Kwa muda gani kama unateseka na ongezeko kubwa la acid tumboni basi chagua kutumia dawa iitwayo stomach acid ni zaidi ya suluhisho Huyu dada aliteseka Kwa muda mrefu na acid hakujua wap atatokea lakini baada ya kukutana na stomach acid yupo fiti na anaendlea vzr Tumia stomach acid Kwa matokeo ya haraka na uhakika

Ww mwanamke tumia chai dada

Picha
Ndugu zangu Bado tunalia na mwanamke na Bado tunaendlea kuwasaidia kupitia dawa yetu iitwayo chai dada ni ngumu wewe kubeba UJAUZITO kama una *Fangasi,u.t.i sugu,uvimbe kwenye kizazi,umetumia njia ya uzazi wa mpango,una p.i.d,homon kuvurugika,chango hupati Ute n.k* Ndo maana Leo tuna dawa yetu iitwayo chai dada ni kiboko baada ya mama kuhangaika sana Leo ameanza kupata matokeo makubwa Ujauzito looding............

Mpendwa

Picha
Wapendwa jitahidi sana kuchukua vipimo hospital kufahamu chanzo cha magonjwa Mara nyingi dalili za magonjwa hufanana japo vyanzo vya magonjwa hayo huwa tofauti, ndio maana kipindi fulani kulikuwa na matangazo sana ya SIO KILA HOMA NI MALARIA Wengi wetu kwa kuogopa gharama za hospital tumekuwa tukienda kwenye matibabu moja kwa moja bila hata kujua chanzo cha magonjwa ambayo tunahisi tunayatibu Kwa wale wanawake ambao mnaona ndoa hazina watoto au pengine huoni hedhi yako au hedhi unapata ila kwa kuvurugika sana, usiende moja kwa moja kununua madawa ya kupevusha mayai au kuchukua matibabu yoyote bila kupata ushauri wa wataalamu na vipimo.... Usiogope gharama za vipimo, uzuri wa vipimo nikukusaidia wewe mhanga kujua chanzo haswa cha tatizo na ukishajua chanzo ni rahisi sana kuondoa tatizo. Kuna wale ambao hedhi haziko sawa na mnaenda moja kwa moja  kwenye kuziangatia diet mkiamini kuwa shida ni homoni kuvurugika na mkiamini kabisa matunda ni njia nzuri ya kubalansi homoni, na ni kweli ...

Elewa juu ya rhesus factor

Picha
Kuna makundi ya damu yafuatayo A,B,AB na O Unapopimwa kundi la damu wanaweza kubainisha kama una Rh Factor au hauna, Rh-factor ni protein ambayo inakutwa katika baadhi ya Seli hai nyekundu za damu, na sio kila mtu anayo hii protein katika cell zake. Waliyonayo ndo wanaitwa Positive na wasiyonayo ni negative, so ukienda hospital utaambiwa ni either A+/A- or B+/B-, AB+/AB- au O+/O- MUHIMU: Ikitokea mama ni mjamzito na ana blood group yenye NEGATIVE, baba wa Mtoto akawa na POSITIVE,  Mara nyingi inategemewa mtoto atakuwa na POSITIVE aliyoirithi kwa baba yake, so kinachotokea ni kwamba kwa ujauzito wa kwanza tatizo linaweza lisionekane kwasababu damu ya mama na mtoto havichanganyikani,  Lakini wakati wa kujifungua damu inaweza kumix hivyo mwili wa mama utatambua hiyo RH-PROTEIN ambayo ipo kwa mtoto hivyo mwili wake huanza kuzalisha kinga mwili ikijua kwamba hicho ni kitu kigeni kinachotakiwa kushambuliwa So, kwa mimba ya pili sasa mama mwili wake unakuwa tayari umetengeneza kinga ...

Vidonda vya tumbo Sasa basi

Picha
Ni maajabu ya stomach ulcers baada ya kutumia siku 4 tu hii ni kutokana na kuteseka na vidonda vya tumbo vilipelekea *Usiku nilikuwa silali,mapigo ya moyo yalienda Kasi,kifua kiliuma sana na tumbo kilikuwa linawaka moto ila Kwa Sasa kifua ndo kinauma kidogo vingine hamna kabsa* Gesi,kiungulia na kukosa hamu ya kula baada ya kufka ofsini na kuchkua dawa Kwa kweli mungu ni mwema anaendlea vzr Huenda unapitia changamoto hii na umekata tamaa usijali vidonda vya tumbo vinatibika tumia stomach ulcers

Masikio kupiga kelele

Picha
Jinsi ya Kutokomeza Masikio Kupiga Kelele Zipo sababu nyingi ambazo zinapelekea Masikio kupiga kelele, Lakini moja kati ya sababu hizo ni Presha ya kupanda ambapo inasababisha Central nervous system utopata Kiwango cha kutosha cha damu ili iweze kufanya kazi yake vizuri. Hali ambayo inapelekea kupatikana madhara ya masikio kupiga kelele. Na wapo ambao makelele hayo hutokea Sikio la kushoto tu. Na wapo ambao hutokea makelele hayo sikio la kulia tu. Wapo Ambao hutokea masikio yote.  Na Makelele hayo hutofautiana kati ya mtu mmoja na Mwingine. Wapo ambao.  πŸ‘‰πŸ½Husikia Makelele kwenye Masikio  πŸ‘‰πŸ½ Husikia Mvumo πŸ‘‰πŸ½ Husikia Kuunguruma πŸ‘‰πŸ½ Husikia kama kitu kinagonga ndani ya sikio  πŸ‘‰πŸ½ Husikia kuzomewa kwenye masikio  πŸ‘‰πŸ½ Husikia Mlio wa Filimbi kwenye Masikio  Ili kuondokana na changamoto yako unatakiwa kuzingatia yafuatayo 1. Acha kabisa kutumia vyakula ambavyo Mgonjwa wa Presha hatakiwi kutumia kuanzia sasa ivi.  2. Chukua Tangawizi ukubwa wa kidole...

Bamia kutibu presha

Picha
*Jinsi ya kutumia Bamia kupambana na ugonjwa wa Presha* Fomula inasadia sana kuondokana na kizunguzungu na maumivu ya kichwa Kwa mgonjwa wa presha Anda Bamia zako 5 unaweza kuzikatakata, Zishafishe vizuri kisha ziloweke kwenye maji ya lita 1 na nusu kwa muda wa masaa 12 Kisha Kunywa maji ya hizo Bamia ulizoloweka kutwa mara tatu. Tumia hii Fomula Utakuja kunishukuru baadae