Dawa ya vidonda vya tumbo
Dawa ya asili ya vidonda vya tumbo
Katika makala hii nitakueleza kiundani juu ya dawa ya vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo.
Vidonda vya tumbo husababishwa na nini?
Kwa kawaida vidonda vya tumbo husababishwa na bakteria aitwaye Helicobacter pylori au kwa kifupi H. pylori.
Watu wawili katika kila watu watatu hapa duniani wana huyu bakteria tumboni mwao.
Na ingawa wengi wa watu hawa wenye huyu bakteria hawaonyeshi dalili yoyote ya kuumwa vidonda vya tumbo bado baadhi yao wanatokewa kuumwa.
Karibu asilimia 2 mpaka 20 ya watu wenye H. pylori wanaugua vidonda vya tumbo.
Wakati hakuna uelewa wa moja kwa moja ni jinsi gani huyu bakteria anaingia tumboni, bado ni bakteria wa kawaida anayepatikana tumboni mwa watu wengi na anaweza kukuingia kupitia chakula na maji ya kunywa.
Tatizo la vidonda vya tumbo linalosababishwa na huyu bakteria ni kuwa anachelewa sana kukuonyesha dalili kwamba una vidonda vya tumbo.
Wakati unaweza kuishi na vidonda vya tumbo kwa muda fulani bila kukuletea shida kubwa, kuviacha kwa muda mrefu bila kupata matibabu kunaweza kukuletea madhara makubwa kiafya.
Tunatambuwa pia asidi inahusika pia na kutokea kwa vidonda vya tumbo.
Zaidi ya nusu ya watu wote wenye vidonda vya tumbo vidonda vyao ni matokeo ya asidi kuzidi mwilini na siyo H. pylori bakteria moja kwa moja.
Seli ndani ya mwili lazima zibaki katika kiasi kidogo cha alkalini kutoka 7.2 mpaka 7.4, wakati 7.0 ni ya kati au husemwa sifuri katika kipimo cha PH yaani potential hydrogen. Chini ya 7.0 ni asidi na juu ya 7.0 ni alkalini.
Unaweza kukinunua kipimo cha PH na kupima Ph ya mate yako au ya mkojo wako kila mara ili kupata mwelekeo wa namna gani ufanye alkalini katika mwili wako ibaki kuwa ya 7.2 mpaka 7.4 kwenye seli ndani ya mwili wako.
Ikiwa mate yanasoma 6.0 au 6.5 ni kiashiria kuwa una asidi iliyozidi kwenye seli zako.
Unapokaribia kutaka kula chakula chochote, au ukiwaza kutaka kula au ukiuona tu msosi kwa macho, TUMBONI MWAKO HUZARISHWA haidrokloriki asidi ili kuuandaa na kuusaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
Kadri unavyoendelea kuishi haidrokloriki ASIDI HIYO HUENDA KUTOBOA KUTA ZA TUMBO na hatimaye taratibu baadaye hukusababishia VIDONDA VYA TUMBO.
Kila mtu anapaswa kula zaidi vyakula vyenye alkalini yaani matunda na mboga za majani na kunywa vinywaji vyenye asidi chache na ikibidi basi atumie vinywaji vyenye alkalini nyingi kama juisi ya limau, juisi ya chungwa, ya zabibu na maji halisi.
Hali ya uasidi ndani ya mwili ndiyo hupelekea kusikia maumivu yatokanayo na vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo pia vinaweza kukutokea kama matokeo ya kutumia dawa za kupunguza maumivu kwa muda mrefu bila ushauri wa kitaalamu, kuvuta sana sigara au kunywa pombe kupita kiasi.
Dalili 17 za vidonda vya tumbo
Dalili zitakazokufanya ujihisi una vidonda vya tumbo ni pamoja na:
1. Kuchoka choka sana bila sababu maalum
2. Kuumwa mgongo au kiuno
3. Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu na hamu ya tendo la ndoa.
4. Kizunguzungu
5. Kukosa usingizi
6. Maumivu makali sehemu ya mwili
7. Maumivu ya Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali
8. Kichefuchefu
9. Kiungulia
10. Tumbo kujaa gesi
11. Tumbo kuwaka moto
12. Miguu kuwaka moto na ganzi
13. Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
14. Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika kama cha mbuzi
15. Kukosa hamu ya kula
16. Kusahahu sahau na
17. Hasira za mara kwa mara
Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma kama sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali.
Kwa kweli ni vigumu kueleza maumivu yote apatayo mgonjwa wa vidonda vya tumbo hasa kwa mwenye vidonda sugu kwani hakuna hata kiungo kimoja mwilini atakachokuambia ni kizima.
Utambuzi wa vidonda vya tumbo
Utambuzi wa kubainisha vidonda vya tumbo hufanyika hospitalini kwa kutumia mionzi au X-Ray kwa lugha ya kikoloni.
Upimaji wa tumbo na vilivyomo ndani yake unaweza pia kufanywa na njia inayojulikana kama ‘endoskopi’ au ‘biopsi’, ambayo huyakinisha hali halisi.
Matibabu ya vidonda vya tumbo
Katika kutibu vidonda vya tumbo, mara nyingi ni lazima kupunguza uzalishaji wa asidi tumboni au mwilini kwa ujumla.
Matibabu ya vidonda vya tumbo hujumuisha lishe na kubadilisha mitindo ya maisha na kutumia dawa maalumu.
Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo.
Majeraha au vidonda hivyo huleta maumivu yanayokera na hutokea mara nyingi tumboni na yanaweza kutibika lakini kama hutachukuwa hatua mapema za kutibu yanaweza kukuletea majanga mengine mengi kiafya.
Tumbo na utumbo mdogo vina kuta maalumu yenye ute ute wa ulinzi ambao hulilinda tumbo lako dhidi ya maadui wanaoleta shida tumboni mwako yaani bakteria wabaya, virusi na vijidudu nyemelezi vingine.
Matokeo ya mashambulizi hayo ya huyu bakteria ni kutokea kwa vidonda kwenye kuta za tumbo na kuweka uwazi (vidonda) ambavyo hutumika kama njia ya kupitia bakteria wengine wabaya na kuongeza gesi tumboni.
Wakati unaweza kuishi na vidonda vya tumbo kwa muda fulani bila kukuletea shida kubwa, kuviacha kwa muda mrefu bila kupata matibabu kunaweza kukuletea madhara yafuatayo;
Madhara 9 ya Vidonda vya tumbo mwilini
1. Kuvuja damu ndani ya mwili (Internal bleeding and serious blood loss)
2. Upungufu wa damu (Anemia)
3. Kutapika damu
4. Kupata kinyesi cheusi kama cha mbuzi
5. Kuvurugika kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (Obstructed digestion)
6. Shida katika kupumua
7. Saratani ya tumbo (Stomach cancer)
8. Msongo wa mawazo (stress)
9. Kupungua kwa nguvu za kiume.
10 Bawasiri.
Ni mhimu kupata vipimo na uchunguzi zaidi wa daktari mapema tu unapohisi unaweza kuwa na vidonda vya tumbo ili kuzuia usipatwe na madhara haya yatokanayo na vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo huwa ni rahisi kutibika unapowahi kuanza matibabu kuliko ukisubiri mpaka viwe sugu
Jinsi ya kuimarisha mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula
Pia unaweza kuimarisha afya ya mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula kwa kufanya yafuatayo
1. Kunywa maji glasi 2 (nusu lita) mara tu uamkapo kutoka kitandani kila siku. Kunywa tena kiasi hiki cha maji kila nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na cha jioni kila siku.
2. Kula chakula kichache milo mingi. Kula hata mara 5 kwa siku lakini chakula kidogo kidogo siyo kingi kwa wakati mmoja.
3. Kula pole pole ulapo chakula
4. Hakikisha unapokula chakula huna mawazo mawazo (stress) yoyote.
5. Kula zaidi vyakula vyenye nyuzi nyuzi
6. Kula vyakula vyenye bakteria wazuri (probiotics) kama vile mtindi na uji wa unga wa ndizi
7. Punguza kukaa chini au kwenye kiti masaa mengi
Hata kama utampata huyu bakteria (H. pylori) kama unao bakteria wengine wazuri tumboni ni rahisi kwako kumdhibiti huyu anayeleta vidonda vya tumbo.
Kuimarisha afya ya mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula ni jambo zuri kiafya siyo kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo tu bali kwa mtu yoyote asiyependa kuugua mara kwa mara kwani tumboni ndiko kuliko na injini ya mwili wote kwa ujumla.
H. pylori ni bakteria anayesababisha vidonda vya tumbo kwa karibu ya zaidi ya nusu ya watu wote duniani hivyo uwezekano wa kumpata au kuugua ugonjwa huu ni mkubwa sana kwa mtu yoyote.
Dawa ya vidonda vya tumbo > Stomach ulcers
Stomach ulcers na stomach acid ni dawa ya asili ya vidonda vya tumbo.
Unapotaka kutibu vidonda vya tumbo ni mhimu kutambua kwanza nini kinaweza kuwa ndiyo chanzo hasa cha tatizo kwa upande wako.
Watu wengi wanaugua vidonda vya tumbo kama matokeo ya kushuka kwa kinga zao za mwili jambo linalosababisha bakteria mbalimbali kushambulia na kutoboa tumbo.
Kadri hawa bakteria mbalimbali wanavyozidi kuongezeka tumboni wanaharibu mfumo wa kawaida wa uundwaji wa asidi mwilini na kupelekea asidi nyingi zaidi kuzalishwa zaidi ya inavyohitajika na mwili.
Asilimia 98 ya watu wengi wanaougua vidonda vya tumbo ni matokeo ya asidi nyingi kuzidi mwilini.
Stomach acid ni dawa nzuri ya asili ambayo;
*Inaongeza mara dufu kinga yako ya mwili
Inaua bakteria mbalimbali tumboni akiwemo bakteria wa vidonda vya tumbo H.Pyrol
*Inaweka sawa usawa wa asidi na alkalini mwilini
*Inarahisisha kutibu vidonda sehemu mbalimbali mwilini (ina vitamini C ya kutosha)
*Inaondoa gesi tumboni
*Inasafisha na kuondoa sumu mbalimbali mwilini
*Inaondoa msongo wa mawazo (stress)
*Inadhibiti virusi (anti-virus)
*Inauongezea nguvu na ufanisi mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
*Inaondoa uchovu sugu na kuongeza nguvu za mwili kwa ujumla
*Inatibu maumivu na matatizo karibu yote ya tumbo ikiwemo bawasiri
Ni dawa ya uhakika kwa kutibu vidonda vya tumbo.
Kama unahitaji dawa hii ya stomach ulcers na stomach acid niambie hapo chini unasumbuliwa na tatizo GANI?
Dawa ya vidonda vya tumbo hupatikana KWA sh 165,000
Dawa ya asidi hupatikana KWA sh 180,000.
AUkitumia stomach ulcers utapata FAIDA zifuatazo kutoka kwangu.
1. Vyakula na vinywaji ambavyo mgonjwa anatakiwa kula kuanzia chakula cha asubuhi, cha mchana na cha jioni kwa siku 7 jtatu mpaka jpili.
2. Vyakula na vinywaji ambavyo havina asidi nyingi mwilini
3. Namna ya kuipunguza hydrokloriki asidi inayozarishwa tumboni wakati wa mmeng’enyo wa chakula isilete madhara ya kutoboa kuta za tumbo na kukuletea vidonda vya tumbo.
4. Mbinu nyingine nje ya vyakula na vinywaji za kupunguza asidi mwilini
5. Namna ya kumuua bakteria wa vidonda vya tumbo kwenye vyakula au vinywaji vya lazima unavyotumia kila siku.
6. Namna nzuri ya kudhibiti msongo wa mawazo (stress) kwenye maisha yako. Msongo wa mawazo ni moja ya sababu nyingine inayoongeza na kusababisha vidonda vya tumbo.
Kama wahitaji dawa hizi twambie hapo chini.
Health consultation
Maoni
Chapisha Maoni