Naitwa Dr jimmy ninawasaidia watu kama wewe wenye changamoto za kiafya kwa kutumia mimea (Ushauri&Tiba)
Njia za kuondokana na vidonda vya tumbo.
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Baada ya siku kadhaa akitumia stomach acid sasa hivi tatizo la asidi kwisha sasa hivi kama unateseka na umekata tamaa ya asid na vidonda vya tumbo usikate tamaa endlea kutufatlia.
*Namna ya kutibu vidonda vya tumbo na acid KWA kutumia mmea huu* Na Dr jimmy 0620165254. Leo nakuletea dawa ya vidonda vya tumbo KWA kutumia mmea huu uitwao mziwa ziwa. Kama BADO wasumbuka na vidonda vya tumbo, Unapata gesi kali,kiungulia,tumbo kujaa muda wote,n.k Basi tumia mmea huu ifuatavyo. *Ng'oa huo mmea pamoja na mizizi yake uoshe vizuri, kisha upondeponde baada ya hapo weka kwenye maji na uchemshe mpaka ibadilike rangi iwe kama chai kisha, iache ipoe na utakunywa kikombe kimoja asubuhi,mchana na jioni, KWA siku 5 tu* Pia ni vizur kila siku utengeneze dawa mpya sio kurudia majani yale yale Pia dawa hii inaweza tibu magonjwa haya 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽 UTI Fangasi n.k Kujifungua haraka hutanua njia, hivyo mjamzito asitumie. Kuleta ute zile siku za kupevuka kwa yai, kwa wale wasiopata ute. Kuongeza joto ukeni na Kuleta hamu ya tendo la ndoa hasa kwa wale waliotumia dawa za uzazi wa mpango Huongeza maziwa kwa wanaonyonyesha. Kubana uke na kufanya uke uwe mnat...
Jifunze na Ufanyie kazi, Dondoo hizi kwa kila kijana au mwanaume anayehisi kupungua nguvu za kiume kwa namna moja au nyingine Usiruhusu hofu ikutawale, hata kama kweli kwa sasa una tatizo la kupungua nguvu za kiume nakushauri usiruhufu hofu isikutawale maana hofu inafelisha na inakunyima uwezo wa kujiamini.... Amini wewe bado ni rijali na huwezi kushindwa na chochote Nakushirikisha haya kwa sababu nami nimewahi kuwa na tatizo la nguvu za kiume, aibu na stress za kushindwa kumridhisha mwanamke kwa sababu ya uwezo duni kitandani vimenipata na hii ni kwa sababu nilipiga sana punyeto kwa muda mrefu almost miaka 6 tangu sekondari mpk kidato cha sita.... Punyeto sio dili kabisa, kama bado unaendekeza mm sikushauri kabisa maana madhara yake ni makubwa kadri unavyokua na mbaya zaidi yanakuja kipindi ambacho tayari upo katika maisha ya ndoa au maisha ya mahusiano ......Na kutibu matatizo ya nguvu za kiume kuusema ukweli kama hujatuliza akili utaibiwa sana kuhangaika na madawa na ukiwa mzem...
*SIRI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NI KUKAZA MSURI WA MSULI WA PELVIC* Na Dr jimmy 0620165254 (Hii ni siri ambayo kama huijui, itakufanya ununue dawa nyingi za kujiboost bila kufanikiwa) Ngoja nikufungue PC MUSCLE Ni msuli unaopatikana kuanzia eneo la haja kubwa mpaka kwenye kinena (kwa wanawake) na mpaka kwenye uume (kwa wanaume) Msuri huu unasaidia kushikilia uume unapokuwa umesimama, kuzuia makalio kubana vyema na kuzuia haja kubwa kama umebanwa sana, husaidia kubana na kuachia mkojo, husaidia mwanamke kubana vyema uume wa mwanamke wakati wa tendo la ndoa (kwa wanawake wabunifu hapa huwaridhisha wanaume zao), msuli huu hubana na kuruhusu manii wakati wa tendo la ndoa n.k Ukisikia mwanaume ana tatizo la kuwahi kileleni basi huu msuri huwa umelegea kiasi mwanaume kushindwa kuyazuia manii yanapotoka. Mambo gani huathiri msuri wa pelvic! •vidonda vya tumbo,acid na bawasiri •Mapenzi kinyume na maumbile •Ukuaji wa tezi Dume •Magonjwa ya presha na kisukari •Kutokufanya...
Maoni
Chapisha Maoni