VYAKULA GANI nitumie NIKIWA na vidonda vya tumbo na acid?

*VYAKULA GANI NITUMIE NIKIWA NA VIDONDA VYA TUMBO na acid*
Na Dr jimmy 0620165254.

Wewe unae teseka na vidonda vya tumbo Kuna vitu unavyo takiwa kuacha kutumia kabisa kwa Sasa  ili uweze kuwa salama

 *Vitu usivyopaswa kuvitumia.* 
๐ŸŠVyakula vya kusisimua mwili,
๐ŸŠVyakula na VINYWAJI  vyenye caffeine na Asidi nyingi mfano 
  ๐ŸŠchai ya rangi,
๐ŸŠ kahawa,
๐ŸŠvyakula vya kwenye makopo soda na juice za viwandani hivyo huchangia kwa kiasi  kikubwa vidonda vya tumbo lakini pia acha
 kutumia chumvi nyingi hasa ๐ŸŠepuka kutumia chumvi mbichi epuka kutumia 
๐ŸŠvilevi vya Aina yoyote,
๐ŸŠ karanga, 
๐ŸŠdagaa,
๐ŸŠ Maziwa
๐ŸŠ maharage,
๐ŸŠkuku wa kisasa au mayai ya kisasa, 
๐ŸŠpilau, 
๐ŸŠnyama nyekundu
๐ŸŠ Sukari
๐ŸŠ chainise kisamvu ,  nk *hivyo husababisha kwa kiasi kikubwa kutokupona kwa vidonda vya tumbo hivyo viache kwa mda mpaka utakapo pona*

Matunda unaweza kupunguza na ikiwezekana Acha kabisa kutumia matunda yafwatayo
๐ŸŽ Nanasi
๐ŸŽ Chungwa
๐ŸŽUkwaju
๐ŸŽChips
๐ŸŽLimao au ndimu

*Vyakula unavyo weza kutumia*
          ✍️Penda kula matunda kwa kiasi kikubwa Sana kila unapo pata Chakula akikisha Kuna matunda pembeni yako, ,Penda kula
✅ ndizi za kupika au zilizo iva au unga wa ndizi pia itakusaidia,
✅ Parachichi
✅ Tikiti maji
✅Tango
✅Karoti


*MBOGA ZA MAJANI* 
penda kula mboga za majani kama 
✅mlenda, 
✅Matembele, 
✅mchicha, 
✅kabeji, 
✅nyanya chungu*
✅ BAMIA
Lakini unaweza kutumia samaki wabichi wa kuchemsha

*CHAI YA ASUBUHI KWA MGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBU*   

Chai yako iwe na viungo Mbalimbali Kama vile 
✅ mdalasini,
✅ iliki, 
✅mchaichai, 
✅Karafuu, Kumbuka viungo hivi vinaweza Kuwa vya unga au majani na unaweza kutumia vyote au ata kimoja Kama mazingiza hayaruhusu, 

*ANGALIZO* ๐Ÿ‘‰ Kumbuka hutakiwi kutumia vitu vyenye caffeine nyingi Usitumie majani ya dukani mfano *chai Bora,* 

 *ANGALIZO* *HUTAKIWI KUTUMIA SUKARI* wewe mwenye vidonda vya tumbo tumia asali badala ya sukari *,Tena asali mbichi ambayo haijachakachuliwa* kumbuka asali Ni miongoni mwa vitu vinavyopunguza  vidonda vya tumbo.

 *VITAFUNWA*
 ๐Ÿ‘‰Mayai ya kienyeji
๐Ÿ‘‰mkate wa ngano ambayo haijakobolewa brown bread
๐Ÿ‘‰Chapati ya unga wa Nagano amabayo haijakobolewa, ikiwezekana hizi chapati zikandwe na tui la nazi na sio maji tu
๐Ÿ‘‰Ndizi za kuchemsha 
๐Ÿ‘‰Ndizi Nyama na Nazi
 ๐Ÿ‘‰Nyama ya kuku wa kienyeji na Nazi ๐Ÿ‘‰ Wali Nazi.

Health consultation
Tunajali afya YAKO.
USIKU MWEMA


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi mmea huu inavyotibu vidonda vya tumbo.

Ongeza nguvu za kiume

Fanya hivi nguvu zako za kiume.