Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2023

Asidi, vidonda vya tumbo tumia VYAKULA hivi.

Picha
*MWONGOZO WA VYAKULA KWA MGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO NA ASIDI*  0620165254  *Kumbuka alama hizi*  ❌ *_Hatari kwako_*  ✅ *_Inafaa kwa afya yako_*  Wewe unae teseka na vidonda vya tumbo Kuna vyakula unavyo takiwa kuacha kutumia kabisa na kuna vyakula unavyotakiwa kula Sio lazima kuzingatia kama wewe nia yako sio kupona  *VYAKULA HATARI KWAKO* :- Dr jimmy 0620165254     ❌❌❌❌❌❌❌ ❌Vyakula vya kusisimua mwili, ❌Vyakula na VINYWAJI  vyenye caffeine na Asidi nyingi mfano  ❌Majani ya dukani ❌ kahawa, ❌vyakula vya kwenye makopo soda na juice za viwandani hivyo huchangia kwa kiasi  kikubwa vidonda vya tumbo lakini pia acha ❌ kutumia chumvi nyingi hasa epuka kutumia chumvi mbichi kabisa  ❌vilevi kwa aina zake ❌ karanga,  ❌dagaa, ❌ Maziwa ❌ maharage, ❌Ugali wa sembe ❌kuku wa kisasa au mayai ya kisasa,  ❌pilau,  ❌nyama nyekundu ❌ Sukari ❌ chainise ❌ kisamvu  ❌ Nanasi ❌ Chungwa ❌Ukwaju ❌ Chips ❌Limao  ✅✅✅✅✅✅✅✅  ...

Namna ya kujikinga na vidonda vya tumbo.

Picha
*FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO, DALILI, VISABABISHI NA NAMNA YA KUJIKINGA* Na Dr jimmy 0620165254.   *VIDONDA VYA TUMBO*  ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acid inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, kama ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi, basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi. Linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine kama kansa, amoeba ( *amiba), homa, kupungua uzito.*   *AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO*   ```Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)```  1️⃣. ...

Uric acid/baridi yabisi inatibika

Picha
Ni siku ya 17 baada ya kusumbuliwa na acid iliyopelekea kupata maumivu makali ya kwenye joint,ngozi kubadilika na maumivu makali lakini KUFIKIA leo anaendlea vzr asee usiteseke na changamoto yoyote share Nasi tukupe Tiba na ushauri .

Baada ya kutumia dawa hii ya chai dada uvimbe kwenye kizazi kwisha.

Picha
Je wewe au ndugu na jamaa anateseka na uvimbe kwenye kizazi??? Kama ndiyo Basi suluhisho lake lipo.je una changamoto GANI?

Maumivu ya tumbo.

Picha
FAHAMU TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO Na Dr jimmy 0620165254. Maumivu ya tumbo ni dalili inayosumbua watu wengi kwa wakati na umri tofauti. Karibu kila mtu katika maisha yake atapata namna fulani ya maumivu ya tumbo. Kuna sababu mbalimbali zinazosababisha maumivu ya tumbo na mara nyingi huwa sio za kutisha, hutubiwa na kupona. Mara chache husababishwa na hali ambazo zinaweza kuhatarisha maisha yako. Maumivu yanaweza kuwa katika sehemu maalum ya tumbo au tumbo zima. Sababu za Maumivu ya Tumbo Kuna hali nyingi zinazoweza kusababisha maumivu ya tumbo. Chanzo cha maumivu hutegemea na sehemu maumivu yalipo. 🍎Maumivu chini ya mbavu kulia yanaweza kusababishwa na • Mawe kwenye mfuko wa nyongo • Maambukizi kwenye mfuko wa nyongo (cholecystitis) • Uvimbe wa ini • Jipu kwenye ini • Homa ya ini • Saratani ya kongosho na kifuko cha nyongo 🍎Maumivu chini ya chembe ya moyo • Vidonda vya tumbo • Kiungulia • Saratani ya tumbo • Saratani ya kongosho 🍎Maumivu Pembeni mwa kitovu • Mawe ya figo (kidney sto...

Presha inatibika.

Picha
Presha umeanza kurudi normal kutoka 200+++ je wewe unateseka na tatizo hilo?????

Hupati siku zako dawa ni chai dada.

Picha
Baada ya kukosa siku zake KWA muda wa miaka 3 sasa ameweza kurudi katika Hali yake ya kawaida ya kupata hedhi

Namna rahisi ya kuondokana na kisukari

Picha
Ni siku nyingine mama huyu mwenye presha iliyokuwa kumi sasa hivi 6 mpaka 4 je wewe una changamoto gani?

Dawa za presha ni chanzo cha vidonda vya tumbo.

Picha
Je umekuwa ukimeza dawa kila siku KWA sababu ya presha? Je kuna ndugu yako,jamaa na rafiki kila siku ni kumeza dawa? Kumbuka dawa hizo ni CHANZO cha vidonda vya tumbo sasa ni hbr njema dawa ya presha ipo.

Bawasiri siyo ugonjwa wa aibu paza sauti

Picha
Umeshapatwa na tatizo hilo la bawasiri?

Hivi unajua MOJA ya madhara ya vidonda vya tumbo ni kupoteza nuru ya kuona.

Picha
Ni hbr njema tena KWA wenye vidonda vya tumbo frida kutokea bukoba amesumbuliwa na vidonda vya tumbo ila tu baada ya kutumia dozi kama shwari na macho yakaanza kuona vyema.

P.i.d harufu mbaya ukeni inatibika KWA dawa yetu iitwayo chai dada.

Picha
Ni hbr njema KWA mtu hiuyu baada ya mda MREFU akisumbuliw na Uchafu wenye HARUFU MBAYA leo yupo salama

Usiteseke na vidonda vya tumbo tena.

Picha
Leo ni wiki MOJA tanguu aanze dawa ya vidonda vya tumbo maendleo yapo hivi kifua kuwaka moto na tumbo kuwaka moto kwisha hata wewe share nasi kwenye tatizo ulilonalo unaendleaje?????

Je utajuaje kama uzito wako upo sawa au umepitiliza.

Picha
🍃⚪*_ JINSI YA KUJUA KAMA UNA UZITO WA WASTANI,UZITO ULIOPITILIZA AU UZITO WA CHINI_* Na Dr jimmy 0620165254  🍃⚪ Watu wengi wana uzito uliokithiri na wengine wana uzito wa chini kupita kawaida bila ya wao wenyewe kujua na yote haya ni hatar kwa Afya yaani uzito ukizid ni hatar na uzito ukiwa chini zaidi ni hatar pia kiafya hivyo mtu anatakiwa awe na uzito wa wastani ( normal weight).  🍃⚪ Ili kujua kama una uzito unaostahili Uwiano kati ya Kilo (Kg) na urefu katika mita za mraba hutumika kujua *_ 🍃⚪ BODY MASS INDEX (BMI)_*: Ni uwiano kati ya Uzito wa Mwili katika kilogramu (Kg) na kimo chako katika Mita za Mraba (Meters Square).Hivyo kizio(SI UNIT) ya Body mass Index ni *Kg/m²*.  🍃⚪ Hivyo mtu akitaka kujua kama uzito wake upo sawa ama hauko sawa kiafya atapima uzito wake kisha atagawa kwa kimo chako kwenye mita za Mraba. *Mfano* Umefanya vipimo ukajikuta na Uzito(Kilo)= 65 kg Kimo(Cm)= 180 cm=1.8 m. Kutafuta BMI Formula, BMI= Uzito(Kg)÷Kimo(m²)       ...

Usichojua juu ya bawasiri.

Picha
Hii ndo maajabu ya pilecare baada ya siku 3 ndugu yangu vinyama vya bawasiri kwisha usiteseke tena ndugu yangu.

Maajabu ya dawa ya bawasiri.

Picha
Pilecare kiboko ya bawasiri,ni baada ya siku 7 leo kama nawe wapitia dalili hizo Basi suluhisho limepatikana.

Njia za kuondokana na vidonda vya tumbo.

Picha
Baada ya siku kadhaa akitumia stomach acid sasa hivi tatizo la asidi kwisha sasa hivi kama unateseka na umekata tamaa ya asid na vidonda vya tumbo usikate tamaa endlea kutufatlia.

Una asidi tumboni?

Picha
Baada ya kuteseka Sana na asid nyingi tumboni hii ni baada ya kutumia dawa yetu pendwa stomach acid amepona kabisa huenda hata wewe upo unajiuliza wapi utapata dawa ya uhakika ya maradhi YAKO jibu ni stomach acid

Vidonda vya tumbo vinapona

Picha
Usijione uko mbali huduma inakufkia madam huyu yupo mbeya (ileje) lakini stomach ulcers imemfikia na leo ni siku ya nne tu ya dawa huenda wee ndani ya siku nne umeshindwa hata kufanya KAZI zako KWA sababu ya vidonda vya tumbo sasa usiteseke tumekufkia ulipo tupo,

Bawasiri inatibika

Picha
Leo kiwa siku ya tano baada ya kutumia dawa ya bawasiri iitwayo pilecare sasa hivi yupo hivi. 👉 Uvimbe ulivokuwa umechungulia nje umeisha. 👉 Damu wakati wa haja kubwa imeisha. 👉 Maumivu makali wakati wa kukaa na KUTEMBEA sasa Basi. Je na wewe unapitia dalili hizo za bawasiri,jibu ni MOJA tumia pilecare na upasuaji siyo suluhisho la tatizo hili. Health consultation Tunajali afya yako.

VYAKULA GANI nitumie NIKIWA na vidonda vya tumbo na acid?

Picha
*VYAKULA GANI NITUMIE NIKIWA NA VIDONDA VYA TUMBO na acid* Na Dr jimmy 0620165254. Wewe unae teseka na vidonda vya tumbo Kuna vitu unavyo takiwa kuacha kutumia kabisa kwa Sasa  ili uweze kuwa salama  *Vitu usivyopaswa kuvitumia.*  🍊Vyakula vya kusisimua mwili, 🍊Vyakula na VINYWAJI  vyenye caffeine na Asidi nyingi mfano    🍊chai ya rangi, 🍊 kahawa, 🍊vyakula vya kwenye makopo soda na juice za viwandani hivyo huchangia kwa kiasi  kikubwa vidonda vya tumbo lakini pia acha  kutumia chumvi nyingi hasa 🍊epuka kutumia chumvi mbichi epuka kutumia  🍊vilevi vya Aina yoyote, 🍊 karanga,  🍊dagaa, 🍊 Maziwa 🍊 maharage, 🍊kuku wa kisasa au mayai ya kisasa,  🍊pilau,  🍊nyama nyekundu 🍊 Sukari 🍊 chainise kisamvu ,  nk *hivyo husababisha kwa kiasi kikubwa kutokupona kwa vidonda vya tumbo hivyo viache kwa mda mpaka utakapo pona* Matunda unaweza kupunguza na ikiwezekana Acha kabisa kutumia matunda yafwatayo 🍎 Nanasi 🍎 Chungwa 🍎...

Una vidonda vya tumbo na asidi usitimie VYAKULA hivi.

Picha
Kama umeteseka Sana na vidonda vya tumbo soma hii mpaka mwisho. Na Dr jimmy 0620165254. Vyakula ambavyo mgonjwa wa vidonda vya tumbo hatakiwi kula Mgonjwa wa vidonda vya tumbo ni lazima uwe makini sana na chakula unachokula kila siku. Chakula unachokula kila siku kitaamua ikiwa dawa unayotumia kutibu vidonda vya tumbo itakuponya na kukuacha huna vidonda tena milele au ndiyo utapata nafuu ya muda mfupi tu na baadaye utaendelea kuumwa vidonda tena na tena mpaka utakapokata tamaa na kutoamini kama kuna kupona vidonda vya tumbo. Chakula unachokula kinapaswa kiwe ni dawa pia. Ulivyo ni kile unachokula kila siku. Usile tu ili kushiba au kwa sababu unasikia njaa. Lazima ujuwe hiki unachokula ni nini, kina kazi gani mwilini na je kinaweza kusaidia kupona au kupunguza makali ya vidonda vya tumbo? Hiki unachokula ni nini? Kina kazi gani mwilini? Je kinaweza kusaidia japo kupunguza gesi au kupunguza asidi tumboni na kutibu vidonda au majeraha tumboni?. Kanuni ya jumla ya chakula cha mgonjwa wa vi...

Umhimu wa matibabu ya awali.

Picha
Matibabu ya awali ni mhimu sana Kwa changamoto hizi za mfumo wa mmeng'enyaji wa chakula kama vidonda vya tumbo,asidi,bawasiri n.k hii huandaa mwili na KUONDOA sumu mwilini kipindi unapopata Tiba katika hatua ya mwisho iwe rahisi kupata matokeo ya haraka na kudumu KWA sababu mwili imeandaliwa vzr. Jiulize unakula Mara 3 KWA siku na unapata choo Mara MOJA hapo inakuwaje au usipate kabisa? Ndugu tumia matibabu ya awali ni mhimu kwako. Matibabu haya unaandaa mwenyewe nyumbani KWA kuzingatia usafi zaidi.

Namna ya kuondokana na asidi tumboni

Picha
Haya ndo maajabu ya dawa yetu ya asidi kama BADO unateseka mpendwa hii ni zaidi ya habari njema dawa ni stomach acid.

Namna ya kuondokana na asidi tumboni

Picha
Haya ndo maajabu ya dawa yetu ya asidi kama BADO unateseka mpendwa hii ni zaidi ya habari njema dawa ni stomach acid.

Mwisho wa bawasiri.

Picha
Unateseka na bawasiri jibu ni.pilecare hii ni zaidi ya dawa kama wateseka na bawasiri Basi usikose dawa hii

Vipimo vya bawasiri

Picha
*JE, NI VIPIMO GANI HUTUMIKA KUTAMBUA KAMA NINA BAWASIRI* Na Dr jimmy 0620165254 Utambuzi wa bawasiri huonekana kwa dalili anazozipata mgonjwa(physical signs) mfano: -Kutokwa na kinyama sehemu ya tundu la haja kubwa. -Kupata miwasho sehemu ya tundu la haja kubwa. -Kupata dalili za kuwaka moto sehemu ya tundu la haja kubwa. - Kupata choo kigumu au kilaini chenye damu. -Kupata unyevu wa mara kwa mara sehemu ya tundu la haja kubwa. -Kupata Maumivu makali sehemu ya tundu la haja kubwa na hali ambayo husababisha kupata maumivu wakati wa kukaa na kupata ugumu wa kukaa vizuri. Pia Ili kupata utambuzi kutoka hospitali yoyote utakayoiendea yenye vipimo, daktari wako anaweza kukufanyia uchunguzi wa mwili kwa njia zifuatazo unapofika kituo chochote cha afya ambacho kina vipimo husika. Vifuatavyo ni Vipimo mbalimbali vya bawasiri unavyoweza kuvipata hospitali yoyote iliyo karibu nawe yenye vipimo: 1. Uchunguzi wa puru(rectum), ambapo daktari anatumia kidole chenye glavuzi kuangalia ndani ya puru(r...

Maumivu ya nyayo

Picha
MAUMIVU MAKALI YA NYAYO NA KISIGINO (PLANTAR FASCIITIS/POLICEMAN HEELS); UGONJWA UNAOWALIZA WATU WENGI WAKATI WA ASUBUHI. Na Dr jimmy 0754821457. Maumivu makali ya nyayo na kisigino(Plantar fasciitis /policeman heels) ni  tatizo linalotokana na kuwepo kwa  maambukizi yanayojumuisha kuvimba kwa bendi nene ya tishu ambayo hupatikana katika nyayo zetu miguuni,ambayo ndiyo inaunganisha mfupa wa kisigino na vidole vya miguu yetu (Plantar fascias). Maambukizi katika bendi nene ya tishu zinazopatikana miguuni ambayo inaunganisha mfupa wa kisigino na vidole vya miguu yetu husababisha maumivu makali ya nyayo na kisigino(Plantar fasciitis).  maumivu makali ambayo mara nyingi hutokea asubuhi pale muhusika anapoamka na anapoweka miguu yake chini na kuanza kupiga hatua zake za kwanza asubuhi,maumivu huwa makali sana ambayo hupungua kadri anavyopiga hatua lakini pia hali ya maumivu huweza kurudi baada ya muda mrefu wa kusimama au unaposimama baada ya kukaa. maumivu makali ya nyayo na k...

Kulewa na marafiki ni furaha.

Picha
MADHARA YA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA NJIA MBADALA ZA KUTATUA TATIZO HILO. Na Dr jimmy 0754821457 Katika karne hii ya 21 matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume yameongezeka kwa kasi kubwa si kwa vijana tu Bali hata kwa wazee. Kutokana na hili wengi hutumia vidonge kwa ajili ya kuridhisha wapenzi wao,Baadhi ya dawa hizo ni SILIDENEFIL huleta athari ambazo siyo nzuri kiafya. JINSI ZINAVOFANYA KAZI. Dawa hizi husababishwa midship ya damu kutanuka na kupelekea damu kupita kirahisi na pia kuongeza mzunguko wa damu kwenda katika sehemu za siri za mwanaume kupelekea uume kusimama kwa mda mrefu zaidi. MADHARA YA DAWA HIZI NI. 🍎mapigo ya moyo kwenda kasi. 🍎maumivu ya kifua na mgongo. 🍎maumivu katika sehemu za siri pale uume unaposimama mda mrefu. 🍎kusikia kizunguzungu na maumivu ya kichwa. 🍎kutoona vizuri au kupoteza uwezo wa kuona. NJIA MBADALA ZA KUPAMBANA NA TATIZO HILI. 👉🏽 punguza mawazo na kuwa katika hali ya utulivu wakati wa kushiriki na mwenza wako. 👉🏽f...

Madhara ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.

Picha
MADHARA YA KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA NJIA MBADALA ZA KUTATUA TATIZO HILO. Na Dr jimmy 0754821457 Katika karne hii ya 21 matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume yameongezeka kwa kasi kubwa si kwa vijana tu Bali hata kwa wazee. Kutokana na hili wengi hutumia vidonge kwa ajili ya kuridhisha wapenzi wao,Baadhi ya dawa hizo ni SILIDENEFIL huleta athari ambazo siyo nzuri kiafya. JINSI ZINAVOFANYA KAZI. Dawa hizi husababishwa midship ya damu kutanuka na kupelekea damu kupita kirahisi na pia kuongeza mzunguko wa damu kwenda katika sehemu za siri za mwanaume kupelekea uume kusimama kwa mda mrefu zaidi. MADHARA YA DAWA HIZI NI. 🍎mapigo ya moyo kwenda kasi. 🍎maumivu ya kifua na mgongo. 🍎maumivu katika sehemu za siri pale uume unaposimama mda mrefu. 🍎kusikia kizunguzungu na maumivu ya kichwa. 🍎kutoona vizuri au kupoteza uwezo wa kuona. NJIA MBADALA ZA KUPAMBANA NA TATIZO HILI. 👉🏽 punguza mawazo na kuwa katika hali ya utulivu wakati wa kushiriki na mwenza wako. 👉🏽f...

Homon kuvurugika

Picha
MVURUGIKO WA HOMONI  Na Dr jimmy 0620165254. Mvurugiko wa homoni za mwanamke nikitendo cha kupungua au kuongezeka kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo hupelekea mwili kubadilika.mvurugiko huo huathiri Kila mwanamke kwa asilimia 80%.asilimia kubwa mabadiliko huanzia kati ya miaka 40 na 50,lakini pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi kuanzia miaka 14.mabadiliko haya asilia hutokea wakati wa balehe, hedhi, ujauzito kabla  na baada ya kukoma kwa hedhi.mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huchangiwa na kutokuwepo na homoni za estrogen,progestone , Testosterone.kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalo wakumba wanawake wengi kwa sasa,hii Ni kutokana na hali ya maisha wanayo ishi,na elimu finyu waliyo nayo juu ya afya zao na kutokula kuringana na makundi ya damu. Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni: -matumizi ya njia za kisasa...

Unapona vidonda vya tumbo siku chach

Picha
UNAPONA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA SIKU CHACHE. Na Dr jimmy 0620165254. Habari njema hadi sasa kupitia health consultation, watu wengi wamepona vidonda vya tumbo kwa mujibu wa takwimu zetu.  ⭐ TUNAAMINI NA WEWE PIA UNAWEZA KUPONA.  Sasa kujua ni namna gani unaweza kupona, naomba dakika zako tano za nguvu nikuoneshe unawezaje kupona vidonda vya tumbo ndani ya chache NDUGU,  💥 Je wewe ni mhanga wa vidonda vya tumbo, umeteseka kwa muda mrefu na umechoka kusumbuliwa na maumivu makali ya vidonda vya tumbo?  💥 Je umekuwa ukiteseka hadi inafikia wakati unashindwa kulala, si kitandani si sakafuni, pote hapalaliki sababu ya vidonda vya tumbo?  💥 Je tatizo lako limefikia hatua ambayo unahisi tumbo linawaka moto sana, umepoteza hamu ya kula, unapata kichefuchefu mara kwa mara, ukila unatapika, unapata shida ya tumbo kujaa gesi, koo linakauka sana na kupungua uzito?  💥 Inawezekana pia umefikia hatua ambayo kuna wakati dalili hizi na maumivu vinakuwa vinapotea na ba...

Bawasiri hufubaza na kuchosha mwili.

Picha
BAWASIRI AU MGORO HUFUBAZA NA KUUCHOSHA MWILI Bawasiri ni nyama zinazotokea eneo la haja kubwa, nyama hizi hutokana na kuvimba kwa mishipa midogo ya damu. Nyama hizi zaweza kuwa ndogo mithiri ya punje ya harage au zikawa kubwa zaidi. Bawasiri husababishwa na; Kuharisha/kuhara kwa muda mrefu, Kutokufanya mazoezi mara kwa mara, Visababishi vya lishe (chakula kilicho na kiwango cha chini cha faiba), Kutokuwepo kwa vali katika vena ya hemoroidi, Vinasaba, Umri mkubwa, Kukaa kwa muda mrefu, Kikohozi cha muda mrefu, Unene/uzito wa mwili uliozidi, Ujauzito kwa wanawake. Bawasiri imegawanyika katika aina mbili tofauti;  1. BAWASIRI YA NJE:  Hii ni aina ya bawasiri ambayo hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu pamoja na muwasho katika sehemu husika. Aina hii ya bawasiri huwa na tabia ya mishipa ya damu katika eneo hilo kupasuka na kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoids. 2. BAWASIRI YA NDANI: Hii ni bawasiri ambayo hutokea ndani ya mfer...

Bawasiri kwisha

Picha
Hii ndo maajabu ya pilecare baada ya siku 3 ndugu yangu vinyama vya bawasiri kwisha usiteseke tena.

Tiba ya vidonda vya tumbo.

Picha
Hii ni zaidi ya maajabu ni siku ya KWAnza baada ya kutumia dawa ya vidonda vya tumbo iitwayo stomach ulcers ndugu angalia mama huyu alikuwa anatesekaje kama BADO unateseka hii ni zaidi ya dawa.

Usiendlee kuteseka na asidi tumboni.

Picha
Ndugu zangu hilo tatizo la acid linakera Sana Sana je na wewe umepitia maumivu kama haya,kama ndiyo endlea kutufatlia huyu mama alikuwa amekosa imani kabisa kakata tamaa lakini leo yupo fiti ndugu yangu usiendlee kukata tamaa dawa ipo una acid tumia dawa iitwayo stomach acid ni zaidi ya suluhisho.

Bawasiri sasa basi.

Picha
Hii ni zaidi ya dawa unateseka na bawasiri ikifika muda wa kwenda chooni mawazo mengi kumbuka choo ni starehe siyo kukunja sura kama BADO unateseka na bawasiri ndugu yangu usiende mbali ishia KWA pilecare

Tiba ya asidi tumboni

Picha
Dr Jimmy 0620165254 👇👇👇 *"ACID / TINDIKALI YA TUMBO"* - ( *GERD*  *GastroEsophagaelRefluxDesease*. ) ♐Hili ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo Inayosababisha  hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (umio) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa.Au Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) ♐Ili kuelewa vizuri tatizo hili linavyotokea tunatakiwa kujua vizuri jinsi chakula kinavyofika tumboni. ♐Kawaida Mara baada ya mtu kutafuna chakula au kunywa maji,chakula husafirishwa kupitia mrija wa chakula (Esophagus) hadi tumboni lakini juu kidogo kati ya tumbo na mrija huu wa chakula kuna kizuizi kilicho na sura ya bangili ( lower esophageal spincher ) kibangili hiki hufanya kazi ya kuzuia chakula kisurudi mdomoni au kwenye koo baada ya kuwa kimeshamezwa pia kibangiri hiki ndicho kinacho mfanya mtu aweze kula chakula huku amening'in...

Tiba ya bawasiri

Picha
♐KWA NINI UTESEKE NA UGONJWA HATARI WA BAWASIRI ? - ( Hemoroid )♐ Na Dr jimmy 0620165254. . ▶ Nii nini ?🕳 ▶ Ni pale mishipa ya veins (nyama) zinapojitokeza eneo la haja kubwa (Anus) Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali. ▶ Hali ya kukera hutokea kipindi Mgonjwa anapojaribu Kwenda chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine. ▶ Mara nyingi bawasiri huendana na kupata Choo Chenye damu. ▶ Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya VEINS na mishipa hii IPO juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana kama nyama zimejitokeza. ▶ Ingawa wakati mwigine BAWASIRI hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa MTU atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya nd...

Dawa ya vidonda vya tumbo

Picha
Dawa ya asili ya vidonda vya tumbo Katika makala hii nitakueleza kiundani juu ya dawa ya vidonda vya tumbo. Vidonda vya tumbo ni majeraha au vidonda ndani ya kuta za tumbo. Vidonda vya tumbo husababishwa na nini? Kwa kawaida vidonda vya tumbo husababishwa na bakteria aitwaye Helicobacter pylori au kwa kifupi H. pylori. Watu wawili katika kila watu watatu hapa duniani wana huyu bakteria tumboni mwao. Na ingawa wengi wa watu hawa wenye huyu bakteria hawaonyeshi dalili yoyote ya kuumwa vidonda vya tumbo bado baadhi yao wanatokewa kuumwa. Karibu asilimia 2 mpaka 20 ya watu wenye H. pylori wanaugua vidonda vya tumbo. Wakati hakuna uelewa wa moja kwa moja ni jinsi gani huyu bakteria anaingia tumboni, bado ni bakteria wa kawaida anayepatikana tumboni mwa watu wengi na anaweza kukuingia kupitia chakula na maji ya kunywa. Tatizo la vidonda vya tumbo linalosababishwa na huyu bakteria ni kuwa anachelewa sana kukuonyesha dalili kwamba una vidonda vya tumbo. Wakati unaweza kuishi na vidonda vya tum...