Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2023

Masikio kupiga kelele

Picha
Jinsi ya Kutokomeza Masikio Kupiga Kelele Zipo sababu nyingi ambazo zinapelekea Masikio kupiga kelele, Lakini moja kati ya sababu hizo ni Presha ya kupanda ambapo inasababisha Central nervous system utopata Kiwango cha kutosha cha damu ili iweze kufanya kazi yake vizuri. Hali ambayo inapelekea kupatikana madhara ya masikio kupiga kelele. Na wapo ambao makelele hayo hutokea Sikio la kushoto tu. Na wapo ambao hutokea makelele hayo sikio la kulia tu. Wapo Ambao hutokea masikio yote.  Na Makelele hayo hutofautiana kati ya mtu mmoja na Mwingine. Wapo ambao.  👉🏽Husikia Makelele kwenye Masikio  👉🏽 Husikia Mvumo 👉🏽 Husikia Kuunguruma 👉🏽 Husikia kama kitu kinagonga ndani ya sikio  👉🏽 Husikia kuzomewa kwenye masikio  👉🏽 Husikia Mlio wa Filimbi kwenye Masikio  Ili kuondokana na changamoto yako unatakiwa kuzingatia yafuatayo 1. Acha kabisa kutumia vyakula ambavyo Mgonjwa wa Presha hatakiwi kutumia kuanzia sasa ivi.  2. Chukua Tangawizi ukubwa wa kidole...

Bamia kutibu presha

Picha
*Jinsi ya kutumia Bamia kupambana na ugonjwa wa Presha* Fomula inasadia sana kuondokana na kizunguzungu na maumivu ya kichwa Kwa mgonjwa wa presha Anda Bamia zako 5 unaweza kuzikatakata, Zishafishe vizuri kisha ziloweke kwenye maji ya lita 1 na nusu kwa muda wa masaa 12 Kisha Kunywa maji ya hizo Bamia ulizoloweka kutwa mara tatu. Tumia hii Fomula Utakuja kunishukuru baadae

Namna ya kuondokana na asidi tumboni

Picha
Bado dawa yetu ya asidi iitwayo stomach acid inazidi kuwa Bora na kutupa matokeo makubw Kwa watumiaji baada ya siku tatu tu *Kiungulia kwisha,gesi na Kaba ya Koo kwisha sauti pia kuwa na mikwaruzo kwisha Sasa unataka nn mpaka hapo mpendwa* Kipi kinakupa shida twambie hapo chini changamoto gani unapitia nione Namna ya kukusaidia Kuna raha kuishi bila kiungulia,gesi,Kaba y Koo,Koo kukauka,mdomo kuwa mchungu,gesi kupanda kifuani n.k,kuimba bila shida Usihangaike dawa ni stomach acid

Namna ya kutibu bawasiri

Picha
Tukisema pilecare inatibu bawasiri Huwa tunamaanisha na tunakuwa na uhakika Kwa sababu matokeo ni makubwa sana sana kama *Kuyeyusha uvimbe wa nje na ndani kwenye njia ya haja kubwa,kuondoa maumivu ya mgongo na kiuno,choo chenye damu,choo kigumu na chenye maumivu makali,kutopata choo kukaa Kwa shida tumeenda mbali zaidi nguvu za kijinsia Kwa mwanamke na mwanaume hurudi* Ndugu yangu chooni raha siyo kukunja sura pia kuwa na mawazo kutokana na maumivu,kutoa damu kama umechinja kuku Tatizo hili linatibika dawa ni pilecare (350,000) ni mwisho na mjarabu wa matatizo yako

Jali mwili wako

Picha
JALI SEHEMU YA MWILI WAKO:* 1. *TUMBO* hujeruhiwa wakati huna kifungua kinywa asubuhi. 2. *FIGO* hujeruhiwa wakati hunywi hata glasi 10 za maji ndani ya masaa 24. 3. *KITUNZA NYONGO* hujeruhiwa wakati ambao hulali hadi saa 11 na hauamki mapema. 4. *UTUMBO MDOGO* hujeruhiwa unapokula chakula baridi na kichakavu. 5. *UTUMBO MKUBWA* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga na vikali zaidi. 6. *MAPAFU* hujeruhiwa unapovuta moshi wa sigara na kukaa katika mazingira machafu ya sigara. 7. *INI* hujeruhiwa unapokula vyakula vya kukaanga, vyenye kemikali (vikali). 8. *MOYO* hujeruhiwa unapokula mlo wako kwa chumvi na kolesteroli nyingi zaidi(mafuta ambayo siyo mazuri yanayoganda). 9. *KONGOSHO* huumia unapokula vitu vitamu kwa sababu ni vitamu kwenye kongosho pia hupatikana sukari. 10. *Macho* hujeruhiwa unapofanya kazi kwenye mwanga wa simu ya mkononi na skrini ya kompyuta gizani. 11. *Ubongo* unaumia unapoanza kuwaza mawazo hasi *Sehemu hizi hazipatikani Sokoni. Zi...

Uzazi Kwa mwanamke

Picha
KUWA DARAJA LA MKEO Katika ya mambo yanayoongeza mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni MSONGO WA MAWAZO Mwanamke akishabainika ana matatizo ya uzazi, akili yake huwa haitulii, muda wote anawaza majirani wanasemaje, ukweni wanamsema vipi, hatma ya ndoa yake ikoje kwa ufupi huwa ni kama akili yake haiko sawa, na kadri stress zinavyozidi hupelekea homoni kuendelea kuvurugika na tatizo kuzidi kuwa kubwa zaidi Nafasi yako kama MWANAUME unaweza kumpa support SIO KIFEDHA, mpe support KISAIKOLOJIA ILI AKILI YAKE itulie aepuke msongo wa mawazo Kuna mambo haya matano unaweza kumsaidia mkeo... 1: MPE NAFASI PALE ANAPOHITAJI NAFASI Mwanamke mwenye matatizo ya mvurugiko wa homoni huwa ni wanawake wenye hasira za ghafla, wenye kununa, visirani, malalamiko n.k, ukigundua mkeo ana shida za namna hii usiwe mtu wa kubishana nae, mpe muda hasira yake itulie ndo muweze kuzungumza kama kuna tofauti... Ukiona haeleweki we usimsumbie jisemee kimoyomoyo kuwa naona dishi lako limeyumba kisha endelea na mambo yak...

Siyo busara kiafya

Picha
Kati ya mambo ambayo si busara kumtangaza mwenzi wako, ni kuwa mliachana kwa sababu hazai, tena ukaongeza na maneno machafu juu. Kupata uzazi si kwa ujanja wa mtu bali kwa mapenzi ya Mola. Kuna kujisifu umezaa ila uzao wako ukakoswa baraka, mwishowe ukaishia kuwa na watoto wengi Alhamdulillah ila wote hawana elimu ya utambuzi yaani vichaa, teja, wenye kuishia gerezani n.k yaani wasikufae kitu Ndoa ikikosa watoto isiwe chanzo cha kukufuru, kaeni pande zote mbili na elezeaneni bayana ili muachane kwa amani au mnaweza kuendelea kuwa pamoja hata kwa mtoto wa kuwasiri yaani adoption au mume akaamua kuongeza mke wa pili (kama imani inaruhusu) kwa ajili ya kuongeza nasaba Iwe kheri au shari zote ni kudra za Allah

Una vidonda vya tumbo fanya hivi

Picha
☘DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO NA ACID REFLUX☘  Tiba MPYA ya VIDONDA VYA TUMBO yapatikana TANZANIA. Soma hii kama unataka kutibiwa vidonda vya tumbo au acid reflux… Kama Unasumbuliwa Na Dalili Zifuatazo Basi Utakuwa Unasumbuliwa Na Vidonda Vya Tumbo na acid reflux.. 🍂gesi na mingurumo 🍂kiungulia 🍂Acid reflux/Asidi kuwa nyingi. 🍂 H Pylori. 🍂tumbo kuwaka moto 🍂Kupumua kwa shida 🍂kuchefuchefu 🍂mgongo ,kiuno, na maumivu  🍂hofu na kukosa usingizi 🍂kukosa hamu ya kula 🍂ganzi  🍂kupungukiwa nguvu za kijinsia 🍂Choo kukatika kama mbuzi  🍂kuharisha na kukosa choo  🍂vichomi na kuhara damu 🍂kutapika Hata kama umeshajaribu kuwatafuta matabibu wengi ili kutibiwa vidonda vya tumbo kwa muda mrefu bila mafanikio basi soma mpaka mwisho ili kugundua utofauti wa tiba hii na zingine… Naitwa JIMMYni TABIBU WA VIDONDA VYA TUMBO ambaye nawasaidia watu wanao sumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa kuwapatia ELIMU, USHAURI NA TIBA. Kwa upande wa tiba yetu ni inatibu aina zote na ha...

Maumivu ya mgongo baada ya kujifungua

Picha
MAUMIVU MAKALI YA MGONGO BAADA YA KUJIFUNGUA: ~ Chuma majani ya mti wa mnyonyo kisha yaponde na uyachemshe nusu saa, chukua kitambaa mkande mgonjwa kabla hayajapoa, mgonjwa akandwe asubuhi na jioni pia, kwa siku 3 hadi 7 maumivu huisha kabisa.   Anza leo kufuata mwongozo wa vyakula na tiba asili za kutatua changamoto za uzazi Msaada zaidi Piga / WhatsApp 0620165254

Maziwa na vidonda vya tumbo

Picha
Moja kati ya imani ambayo watu wengi tulionayo...huwenda kwa kuamini sisi wenyewe au kwa kuaminishwa na baadhi ya watu    Ni kuwa maziwa yanasaidia kutibu vidonda vya tumbo  Habari njema ni kwamba  hata wewe unaweza ukawa ni shahidi juu ya hili kwasababu ulishawahi kutumia ukapata nafuu   Ila usichokijua ni kwamba tafiti hizi ni tafiti za nyuma sana kwa tafiti za hivi karibuni imethibitika kuwa maziwa maziwa hayatibu vidonda vya tumbo Bali maziwa huleta nafuu ya muda tu kwa mgonjwa kwasababu Maziwa huenda kufunika vidonda na utamdo wa tumbo ndio maana mgonjwa hupata nafuu kwa muda Licha ya habari nzuri kuna habari mbaya  Ambayo itakufanya uache kabisa kutumia maziwa na uyaone kama ni adui kwako Habari mbaya ni kwamba imethibitika kuwa maziwa huchochea uzalishwaji wa acid nyingi tumboni   Na kupelekea hali ya vidonda kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo kuwa mbaya zaidi au dalili kuwa mbaya zaidi Na hii hutokea baada ya utando uliofunika vidonda ndani ...

Faida za maji Kwa wenye vidonda vya tumbo

Picha
Je unajua kuwa daktari wa kwanza mwili wako ni wewe mwenyewe? . Kama wewe ni mhanga wa vidonda vya tumbo SUGU na haunywi maji pindi unapoianza siku yako . Basi unapitwa na faida hizi: Hapa kuna faida tatu kuu za kunywa maji asubuhi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo: *1: Kupunguza asidi tumbo:* Vidonda vya tumbo mara nyingi husababishwa na ziada ya asidi katika tumbo. hivyo Kunywa maji asubuhi kabla ya kula chochote husaidia kuondoa asidi hiyo na kupunguza kiwango cha asidi tumbo.  Hii itakusaidia kupunguza maumivu na kusaidia uponyaji wa vidonda vya tumbo. *2: Kusaidia utumbo wa kawaida:* Maji yanakusaidia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo na kusaidia utumbo kufanya kazi vizuri. hivyo Kunywa maji ya kutosha asubuhi husaidia kusafisha njia ya utumbo na kusaidia kuzuia msongamano wa chakula.  Hii itakusaidia kupunguza shinikizo kwenye tumbo na kusaidia kupunguza dalili za vidonda vya tumbo kama vile maumivu na uvimbe. *3: Kulainisha na kusaidia uponyaji wa vidonda vya tumbo:* Maji ya...

Unafklia hivi?

Picha
Sio kama unavyofikiria... . Kitendo cha kunywa maji hivi sasa kinaonekana ni kazi rahisi ambayo haihitaji umakini  . Usichokijua ni kwamba tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuwa . jinsi unavokunywa maji na wakati unaokunywa maji inaathari ya moja kwa moja kwenye mwili wako hivyo ni muhimu Kufahamu vipi unatakiwa kunywa maji kwa usahihi  . Kupitia nakala hii nitakuonesha kanuni 4 muhimu ambazo unatakiwa Kuzingatia wakati unakunywa maji yako ili uweze kunywa maji kwa usahihi na kuona faida zake . KANUNI YA KWANZA : Kaa wakati unakunywa maji  . Kunywa maji wakati umesimama kunaharibu usawa wa maji ya mwili.  Unaweza kukusanya maji ya ziada yasiyohitajika katika mwili wako ikiwa utakunywa wakati umesimama  Jambo ambalo linaweza kukusababishia ugonjwa wa Maumivu ya viungo yani (athratis).  Kibaya zaidi huathiri usagaji chakula na ufyonzwaji wa madini jambo ambalo husababisha matatizo mengine pia. . KANUNI YA PILI : Kunywa pole pole  . Kwa maana kuwa unatak...

Tiba ya vidonda vya tumbo

Picha
Je unafahamu Kwamba ukiruhusu kupona kwa njia ya asili na salama ni suluhisho la afya bila madhara ya dawa za kemikali? . Kwa kulifahamu Hilo . Leo nimeamua kukuletea njia ya kipekee itakayo kusaidia kutibu kiungulia na vidonda vya tumbo bila madhara  . Ili uweze kutumia njia hiyo unatakiwa uwe na vitu vifuatavyo nyumbani kwako . ✓kabeji 1 ✓karoti 3 ✓maji kikombe 1 ✓Asali mbichi (sio lazima Ila ukipata ni nzuri zaidi) 👉🏾Jinsi ya kuandaa tiba yako -Chukua kabeji yako iloweke ndani ya maji kwa muda wa nusu saa - Kisha likate vipande 4 , chukua kipande kimoja katakata dezaini kama unataka kuipika, kisha weka kwenye Brenda -Chukua karoti zako 3 zikatekate vipande vidogo vidogo, kisha weka kwenye brenda - weka maji yako kikombe kimoja/ glasi moja, kisha saga 👉🏾Jinsi ya kutumia tiba hii √Tumia glasi moja asubuhi nusu saa kabla ya kupata kifungua kinywa  √Na jioni nusu saa kabla ya kupata chakula cha usiku  √Tumia ndani ya siku 7 mfululizo... . Njia hii sio njia ya moja kwa ...

Tiba ya presha ya kupanda

Picha
TIBA YA PRESHA YA KUPANDA. Amani na Upendo wa Mungu viwe pamoja nawe. Chukua majani 4 ya mbaazi,tafuna meza maji yake kutwa Mara 3 siku 4 ya nne kapime presha yako.. Nenda na mfumo huo wa kutafuna majani na baada ya siku 3 unapima presha yako.. Mafanikio mema.

Mwanaume,kama mambo ya chumbani hayapo sawa

Picha
Kijana unayehisi mambo ya chumbani hayaendi vizuri, tafuta Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja, Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande], Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake], Unga wa msamitu vijiko nane, Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane, Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita. Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini. Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari. Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa 6, itakuwa tayari kwa matumizi MATUMIZI: Utakuwa ukilamba/kula vijiko viwili asubuhi unapoamka kabla hujala chochote, na usiku utatumia tena vijiko vitatu kabla ya kulala Nikukumbushe kwamba hii tiba yako ni kwa ajili ya changamoto zako...

Namna ya kutibu bawasiri

Picha
Leo imekuwa siku njema sanaaaaaa💪🏾 nauhisi utulivu ndani yangu Endeleeni kujifunza na kuchukua hatua wapendwa Unateseka na bawasiri jibu ni pilecare kiboko ya bawasiri kazi yake kubw ni 👉 Kuyeyusha uvimbe wa ndani na nje 👉kuondoa maumivu yote wakati wa kujisaidia 👉kuimarisha mishipa ambazo zimepasuka zinazopelekea kupata choo Cha damu 👉 Kuimarisha mfumo wa mmengenyaji wa chakula ambao unakufanya upate choo kigumu.n.k Usisubiri dawa hii inapatikana Kwa sh 350,000 Kumbuka choo ni starehe siyo kukunja sura

Ongeza nguvu za kiume

Picha
Jifunze na Ufanyie kazi, Dondoo hizi kwa kila kijana au mwanaume anayehisi kupungua nguvu za kiume kwa namna moja au nyingine Usiruhusu hofu ikutawale, hata kama kweli kwa sasa una tatizo la kupungua nguvu za kiume nakushauri usiruhufu hofu isikutawale maana hofu inafelisha na inakunyima uwezo wa kujiamini.... Amini wewe bado ni rijali na huwezi kushindwa na chochote Nakushirikisha haya kwa sababu nami nimewahi kuwa na tatizo la nguvu za kiume, aibu na stress za kushindwa kumridhisha mwanamke kwa sababu ya uwezo duni kitandani vimenipata na hii ni kwa sababu nilipiga sana punyeto kwa muda mrefu almost miaka 6 tangu sekondari mpk kidato cha sita....  Punyeto sio dili kabisa, kama bado unaendekeza mm sikushauri kabisa maana madhara yake ni makubwa kadri unavyokua na mbaya zaidi yanakuja kipindi ambacho tayari upo katika maisha ya ndoa au maisha ya mahusiano ......Na kutibu matatizo ya nguvu za kiume kuusema ukweli kama hujatuliza akili utaibiwa sana kuhangaika na madawa na ukiwa mzem...

Mlo mzuri Kwa mjamzito

Picha
MNAULIZA MILO MIZURI KWA MJAMZITO NI IPI... 1. Kunde: Mbegu za makundekunde ni sehemu muhimu ya chakula kwa mama mjamzito kwa sababu huwa na kiwango kikubwa cha protini.  Kwa watu wasiokula nyama au wana uwezo mdogo tu kujipatia nyama mbegu za jamii kunde zinatosheleza mahitaji ya protini.  Mimea mingine yenye protini ni Soya, Peas, Karanga, Alfa alfa, kunde na maharage.  2.Mayai: Mayai ya kienyeji mawili kwa siku husaidia kuupa mwili protini, vitamini A na madini ambayo itasaidia kuzuia kupatwa na maradhi ya magonjwa mbalimbali. 3. Maziwa na vyakula vya jamii ya maziwa:, Glasi nne au zaidi ya maziwa ya aina yoyote pamoja na/au vyakula vyenye jamii ya maziwa kama jibini, mtindi na siagi. Maziwa ni muhimu kwa protini, calcium, vitamini na virutubisho vingi. Vitasaidia ukuaji wa mifupa na misuli, Ni muhimu kwa damu yenye afya, kusaidia usingizi na kusawazisha mdundo wa moyo.  4.Viazi vitamu: Viazi vitamu vina vitamini A ambayo husaidia ukuaji wa macho ya mtoto, ngozi n...

Madhara ya msongo wa mawazo

Picha
*MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO (STRESS)*  MSONGO WA MAWAZO (stress) ni hali ya maumivu au mfadhaiko wa kihisia au kisaikolojia unaotokana na hali, tukio au jambo ambalo ni gumu sana au lenye changamoto kubwa.  Mfano wa mambo yanayoweza kusababisha msongo wa mawazo ni kama matatizo ya kisaikolojia na afya ya akili, matatizo ya kiuchumi, magonjwa, kazi nyingi au matatizo kazini, kufiwa, mambo usiyokua na uhakika nayo kama vile kusubiria majibu ya mtihani au ugonjwa, matatizo ya kimahusiano, n.k  MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO (STRESS) 1. Kodhoofika kiafya > jinsi ubongo unavyopambana na mawazo makali unakosa raha na muda wa kutulia kuweza kuujenga mwili kwa namna yeyote ile afya yako inazorota kabisa. 2. Vidonda vya tumbo > mwanadamu anapokosa kupata chakula kwa wakati au kula kiwango kidogo sana pamoja na kukaa kwa muda mrefu bila kula utumbo huathiriwa na asidi ya haidrokloriki (hydrocloric acid-hcl). Malengo ya mwili kuzalisha na kutiririsha asidi ya mtindo huu ni kwa a...

Fanya hivi kama hedhi inatoka nyingi

Picha
Itumie iliki kama hedhi imetoka nyingi au unapoteza damu nyingi wakati wa hedhi Iliki inakusaidia kukata hedhi iliyopitiliza na pia ni kiungo kizuri cha kurudisha madini ya Zinc na Iron yaliyopotea kutokana na utokwaji wa damu nyingi... Unaweza kutafuna majani yake mara kwa mara ni sawa ila walio wengi huwa tunapendelea kutia iliki kwenye chai (weka iliki ya kutosha wakati wa maandalizi ya chai yako) AU Unaweza kuandaa juisi ya matunda lita moja kisha utatia kijiko kikubwa kimoja cha unga wa iliki, utakunywa juisi yako mara kwa mara. Ukifanya hivi kwa siku tatu utayaona matokeo mazuri. Muhimu kumbuka kuwa • Mwanamke mwenye changamoto za homoni / hedhi ni muhimu kuacha matumizi ya sukari nyingi, vitu kama keki, ice cream, keki, soda n.k ni vitu ambavyo hupaswi kuviendekeza maana huvuruga zaidi mpangilio wa homoni • Punguza au Ikibidi achana na matumizi ya nafaka za kukobolewa mfano sembe, wali mweupe na ngano nyeupe, sio rafiki kwa wenye changamoto hizi za homoni / hedhi • Kuh...

Madhara ya kunywa energy

Picha
UNAKUNYWA SANA ENERGY? HAYA HAPA MADHARA YAKE NB: Hili somo ni ushauri, siyo sheria ya kukuzuia usitumie, jali afya yako, madhara huja kwa kuchelewa Matumizi ya mara kwa mara ya Energy yana madhara kwa baadae, tunakutajia madhara 11: 1. Kiwango cha mapigo ya moyo huongezeka 2. Kiwango cha msongo wa kuwaza na uoga huongezeka 3. Tumbo kuuma 4. Ni rahisi mno kupata matatizo ya moyo 5. Unapokunywa energy kila mara hauna tofauti na anayevuta sigara, wote mna madhara ya baadae 6. Maumivu ya kichwa 7. Kukosa choo 8. Kukosa usingizi 9. Huweza kusababisha ugumu kwa mwanaume kuzalisha/kumpa mwanamke ujauzito 10. Kiwango cha sukari huongezeka kwenye damu 11. Kifo cha ghafla Fuata ushauri tuliouandika mwanzo wa makala hii Man power  NI NINI KWA WANAUME ➖Ni dawa ya asili kwa ajili ya wanaume ➖Waliopitia mchezo wa kujichua ➖Wanaokosa hamu ya tendo ➖Ambao mzee anasimama kwa ulegelege ➖Dozi yake ni wiki 4 ➖Inaandaliwa @jws clinic, bei ni 250,000 NB: Mkoa wowote tunatuma Simu: 0620165254 Health con...

Namna ya kupunguza kitambi

Picha
MBINU ZA KUPUNGUZA UZITO MILELE Fanya Hivi Usiwe Miongoni Mwa Watu Watu Kati ya Wanne Wanaoongezeka Tena Baada Ya Kupunguza Uzito au Kitambi… Kwa baadhi ya watu kupungua uzito sio kazi, wanajua mbinu zao za kufanya kupungua. Kazi ipo kwenye kufanya matokeo yawe ya kudumu. Wengine hata hiyo kupunguza hata nusu kilo ni mtihani.. Lakini hata akipunguza baada ya muda fulani uzito unarudi kwa kasi. Wengi wa watu kama hawa huwa wanafanya kitu kinaitwa  ‘diet’ Kwa maana ya kawaida - DIET ni aina na kiasi cha chakula mtu anachokula kwa kawaida. Zingatia neno KAWAIDA! Lakini hizo ambazo watu hufanya zinaitwa special diet.. Ambazo zinakuwa ni mpangilio aina fulani ya chakula kwa ajili ya lengo fulani maalumu au kundi fulani la watu. Utaona kuna diet nyingi.. mfano • Punguza kiasi unachokula. Hawa ni wale wa mchinjo. Hamu ya kula ipo hadi mbinguni lakini sasa unataka kupunguza uzito unajipakulia kiduchu au unakunywa vijuisi na mengi unaepyka kula sana • Kuna ambao wanakuambia usijaribu kuweka...

Namna ya kupunguza uzito

Picha
JINSI YA KUPUNGUZA UZITO WAKO Jinsi ya Kupunguza Uzito Wako (Diet plan) - Sehemu ya Kwanza Jinsi ya Kupunguza Uzito Wako (Diet plan) - Sehemu ya Kwanza   Kuna njia nyingi sana ambazo hujaribiwa na watu ili kupunguza mwili na tumbo lakini zinakuwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanayoishi hivyo kupelekea kushindwa njiani. Zipo njia za kutumia madawa kama kahawa na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu. Kwa kuwa kahawa huwezi kutumia zaidi ya round 3 kwa maana hiyo ukinenepa tena inabidi utafute njia nyingine. Lakini njia hii ifuatayo unaweza kuifanya ikawa ni maisha yako ya kila siku ikazoeleka na ukawa unaishi hivyo hivyo bila kuongezeka mwili. Mara nyingi vyakula tunavyokula na vinywaji tunavyokunywa npyo vinatuponza.  Tutakuwa tunakuletea ratiba ya kupunguza uzito wako kwa muda wa mwezi mzima. Vidokezo muhimu Kupungua uzito kunategemea na kiwango cha mafuta cha mtu mwilini (body fat), uzito wa mtu, calories anazohitaji kwa siku, BMI yake pamoja na lengo la mtu ...

Afya yako uchaguzi wako

Picha
AFYA YAKO UCHAGUZI WAKO!!  TIMIZA WAJIBU WAKO,MENGINE MUACHIE MUNGU. Je umepima uzito wako lini mara ya mwisho? Sukari yako mwilini iko sahihi? Unakula kwa usahihi au kwa mazoea ? 3 Yohana 1:2  Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo. Beloved, I wish above all things that thou mayest prosper and be in health, even as thy soul prospereth.

Chakula kizuri Kwa mjamzito

Picha
MNAULIZA MILO MIZURI KWA MJAMZITO NI IPI... 1. Kunde: Mbegu za makundekunde ni sehemu muhimu ya chakula kwa mama mjamzito kwa sababu huwa na kiwango kikubwa cha protini.  Kwa watu wasiokula nyama au wana uwezo mdogo tu kujipatia nyama mbegu za jamii kunde zinatosheleza mahitaji ya protini.  Mimea mingine yenye protini ni Soya, Peas, Karanga, Alfa alfa, kunde na maharage.  2.Mayai: Mayai ya kienyeji mawili kwa siku husaidia kuupa mwili protini, vitamini A na madini ambayo itasaidia kuzuia kupatwa na maradhi ya magonjwa mbalimbali. 3. Maziwa na vyakula vya jamii ya maziwa:, Glasi nne au zaidi ya maziwa ya aina yoyote pamoja na/au vyakula vyenye jamii ya maziwa kama jibini, mtindi na siagi. Maziwa ni muhimu kwa protini, calcium, vitamini na virutubisho vingi. Vitasaidia ukuaji wa mifupa na misuli, Ni muhimu kwa damu yenye afya, kusaidia usingizi na kusawazisha mdundo wa moyo.  4.Viazi vitamu: Viazi vitamu vina vitamini A ambayo husaidia ukuaji wa macho ya mtoto, ngozi n...

Namna ya kuondoa gesi tumboni.

Picha
VYAKULA VYA KUONDOA GESI TUMBONI  Watu wengi walikua wakiomba mada hii japo nilishawahi kuitoa kiufupi huko nyuma. Watu wengi wamekua wakihangaika sana matumbo Yao kujaa gesi mara kwa mara na kuvimbiwa bila sababu.Leo nitaelezea jinsi ya kulitatua hili kwa kutumia vyakula na matunda, kama tatizo hili limekusumbua kwa mda mrefu, pia kuna dawa maalumu kabisa kwaajili ya tatizo hili. Kwa njia Moja au nyingine unaweza kukuta tumbo limechafuka kwa kuuma,kujaa gesi na hata kunguruma na unaweza kuhisi unaweza kunywa dawa Ili litulie. Katika makala niliyokuandalia Leo nimekuandalia njia Bora sana za kutuliza mchafuko wa tumbo kwakutumia vyakula na matunda badala ya dawa ambazo haziondoi chanzo Cha tatizo JE NI NINI CHANZO? Kabla ya kukimbilia kwenye tatizo lenyewe na matibabu ngoja tujue kwanza chanzo huanzia wapi. Vipo vyakula na vinywaji ambavyo huchangia sana katika tatizo hili,  Vyakula na vinjwaji vinavyochangia tumbo kujaa na kukosa choo kwa mda mrefu, vinywaji ni kama; Soda Vil...

KUKOJOA baada ya sex

Picha
*BAADA YA MECHI ZA WAKUBWA, NI MUHIMU MKAKOJOE* ...tunashauriwa kukojoa kila baada ya tendo la ndoa. Wanawake wengi huwa na hamu ya kwenda haja ndogo kila baada ya tendo ila kutokana na uvivu na uchovu ujikuta katika usingizi mzito na kusahau baada ya kufika kileleni. Kukojoa baada ya tendo hupunguza na kuzuia uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa ya njia ya mkojo (U.T.I) na magonjwa ya zinaa (S.T.I) Unachopaswa kufahamu ni kuwa tendo la ndoa huongeza presha kwenye kibofu na kusababisha hamu ya kukojoa kila baada ya tendo hali inayokuwezesha kuondoa vimelea vya magonjwa mbali mbali kabla ya kusambaa kwenye kibofu na sehemu nyingine za mwili kusababisha matatizo makubwa. Kwa wanaotumia condom pia unashauriwa kufanya hivo endapo itapasuka sambamba na kusafisha sehemu za uke na uume kwa maji safi. Kwa wanaofanya mapenzi kwa mdomo (wale wazima chumvini, wenyewe mnajiita wlamba koni) unashauriwa kutoingiza shahawa, maji maji ya uke / u*me na damu mdomoni kwani kuna hatari kubwa ya kuam...

Nguvu za kiume

Picha
*Kila matokeo huwa na chanzo, unataka kuwa imara kama mwanaume ukiwa faragha?* Basi jijengee utaratibu wa kutenga walau dakika tano hadi kumi, imarisha mifupa na misuli ya nyonga yako Ishi kama mwanaume Wanaume tunaotaka kujiweka vyema kwenye tendo la ndoa,  tafuta Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja, Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande], Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake], Unga wa msamitu vijiko nane, Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane, Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita. Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini. Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari. Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa 6, itakuwa tayari kwa mat...

Tambazi

Picha
TAMBAZI (edema)  ni maradhi inayosababisha uvimbe kwenye mwili. Inaonekana hasa mkononi, mguuni na tumboni lakini inaweza kutokea pia ndani ya mwili. Hutokea wakati viowevu (majimaji) vinatoka kwenye mishipa midogo mwilini na kukusanyika katika tishu yaani kati ya seli za mwili. Tambazi ya mapafu (pulmonary edema) ni mkusanyiko wa majimaji kwenye mapafu. Hali hii ni hatari kwa sababu kiowevu ndani ya mapafu inaleta matata katika upumuaji, inapunguza oksijeni inayopatikana mwilini na kama ni nyingi inaweza kusababisha kifo. Tambazi tumboni huitwa ascites. Edema inayotokana na magonjwa ya moyo, ini na figo inatokana na kubakia kwa chumvi nyingi mno, ambayo inayatunza majimaji hayo ya ziada ndani ya mwili. Katika baadhi ya magonjwa ya ini na figo, viwango vidogo vya albumin ndani ya damu husababisha kubakia kwa majimaji. Moyo kushindwa kufanya kazi yake (heart failure), liver cirrhosis na ugonjwa wa figo uitwao nephrotic syndrome ni magonjwa yajulikanayo kusababisha edema. Edema hutok...

Tambazi

Picha
Tambazi (edema) ni maradhi inayosababisha uvimbe kwenye mwili. Inaonekana hasa mkononi, mguuni na tumboni lakini inaweza kutokea pia ndani ya mwili. Hutokea wakati viowevu (majimaji) vinatoka kwenye mishipa midogo mwilini na kukusanyika katika tishu yaani kati ya seli za mwili. Tambazi ya mapafu (pulmonary edema) ni mkusanyiko wa majimaji kwenye mapafu. Hali hii ni hatari kwa sababu kiowevu ndani ya mapafu inaleta matata katika upumuaji, inapunguza oksijeni inayopatikana mwilini na kama ni nyingi inaweza kusababisha kifo. Tambazi tumboni huitwa ascites. Edema inayotokana na magonjwa ya moyo, ini na figo inatokana na kubakia kwa chumvi nyingi mno, ambayo inayatunza majimaji hayo ya ziada ndani ya mwili. Katika baadhi ya magonjwa ya ini na figo, viwango vidogo vya albumin ndani ya damu husababisha kubakia kwa majimaji. Moyo kushindwa kufanya kazi yake (heart failure), liver cirrhosis na ugonjwa wa figo uitwao nephrotic syndrome ni magonjwa yajulikanayo kusababisha edema. Edema hutokea pa...